Acts 2:27 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana hutaiacha roho yangu kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa sababu wewe Bwana hutaniacha kaburini. Hautauacha mwili wa mtumishi wako mwaminifu kuozea huko.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana hutaiacha roho yangu kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana hutaiacha roho yangu kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hutaiacha roho yangu, ipotee kuzimuni, wala hutamtoa akuchaye, apate kuoza kaburini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana hautaniachilia kubaki katika kuzimu, hautakubali mutumishi wako mutakatifu apate kuoza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana hutaniacha roho yangu katika kuzimu: Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.