Acts 2:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu alimfufua huyu Isa, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu ndiye ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu. Sisi sote ni mashahidi wa jambo hili. Tulimwona.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu alimfufua huyu Yesu na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu alimfufua huyu Isa na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyo Yesu Mungu amemfufua, nasi sote tu mashahidi wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mungu alimufufua huyo Yesu, na sisi wote tuko washuhuda wa jambo hili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.