Acts 20:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nilipokuwa pamoja nanyi, sikutamani pesa ya mtu yeyote au nguo nzuri.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sikutamani fedha wala dhahabu wala nguo ya mtu ye yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sikutamani fedha wala dhahabu wala vazi la mtu yeyote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sikutaka fedha au dhahabu au mavazi ya mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sikutamani fedha wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi sikutamani feza, zahabu, wala nguo ya mutu yeyote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sikutamani fedha, wala dhahabu, wala mavazi ya mtu.