Acts 20:36 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Paulo alipomaliza kuzungumza, alipiga magoti chini, na wote waliomba pamoja.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kusema hivyo akapiga magoti pamoja nao wote, akaomba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Paulo alipokwisha kusema maneno haya, akapiga magoti pamoja nao wote na kuomba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.