Acts 20:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Palikuwa na taa nyingi katika orofa ile tulipokuwa tumekusanyika.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tulikuwa wote kwenye chumba ghorofani na kulikuwa taa nyingi chumbani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkawa na taa nyingi katika chumba cha juu, tulimokuwa tumekusanyika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Palikuwa na taa nyingi katika orofa ile tulipokuwa tumekusanyika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kulikuwa taa nyingi katika chumba cha gorofi tulichokusanyika ndani yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Palikiuwa na taa nyingi katika orofa ile walipokuwa wamekusanyika.