Acts 21:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: “Atakalo Bwana lifanyike!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipokataa kushawishika, tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya Mwenyezi Mungu na yatendeke.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alipokataa shauri letu, tukanyamaza tukisema, Mapenzi ya Bwana na yatendeke.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hatukuweza kumshawishi asiende Yerusalemu. Hivyo tuliacha kumsihi na tukasema, “Tunaomba lile alitakalo Bwana lifanyike.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: “Mapenzi ya Bwana yafanyike”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: “Atakalo Bwana lifanyike!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya Bwana na yatendeke.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipokuwa hashawishiki, tukaacha kumsihi, tukasema, “Mapenzi ya Mwenyezi Mungu na yatendeke.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alipokataa shauri letu, tukanyamaza tukisema, Mapenzi ya Bwana na yatendeke.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: “Atakalo Bwana lifanyike!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokataa kutusikia, tukanyamaza tukisema: Bwana ayatakayo na yafanyike!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alipokataa shauri letu, tukanyamaza tukisema, Mapenzi ya Bwana na yatendeke.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tulipoona kwamba amekataa shauri letu, tukanyamaza na kusema: “Mapenzi ya Bwana yafanyike.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Alipokataa shauri letu, tukanyamaza, tukisema. Mapenzi ya Bwana na yatendeke.