Acts 22:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Enyi wanaume, ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea mbele yenu sasa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Paulo akasema, “Baba zangu na kaka zangu, nisikilizeni! Nitajitetea kwenu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Enyi wanaume, ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea mbele yenu sasa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waume mlio ndugu na baba, sikilizeni, ninayojikania sasa mbele yenu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Enyi wanaume, ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea mbele yenu sasa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Wandugu zangu na wababa zangu, musikilize yale ninayotaka kusema kwa kujitetea mbele yenu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ENYI wanaume, ndugu zangu ua baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea nafsi yangu mbele yemi sasa.