Acts 22:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waliposikia akisema kwa lugha ya Kiebrania, wakanyamaza kabisa. Ndipo Paulo akasema,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waliposikia kwamba anasema nao kwa lugha ya Kiebrania wakazidi kunyamaza; akasema,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wayahudi walipomsikia Paulo anazungumza kwa Kiaramu wakanyamaza. Kisha Paulo akasema,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waliposikia akisema kwa lugha ya Kiebrania, wakanyamaza kimya kabisa. Ndipo Paulo akasema,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waliposikia akisema kwa lugha ya Kiebrania, wakanyamaza kimya kabisa. Ndipo Paulo akasema,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waliposikia kwamba anasema nao kwa lugha ya Kiebrania wakazidi kunyamaza; akasema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waliposikia, ya kuwa anasema nao kwa msemo wao wa Kiebureo, wakakaza kunyamaza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waliposikia kwamba anasema nao kwa lugha ya Kiebrania wakazidi kunyamaza; akasema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipomusikia akisema nao katika luga ya Kiebrania, wakanyamaza zaidi. Halafu Paulo akasema:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Waliposikia kwamba anasema nao kwa lugha ya Kiebrania wakazidi kunyamaza: akanena,