Acts 22:8 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nami nikauliza, ‘Nani wewe, Bwana?’ Naye akaniambia, ‘Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nikajibu, ‘Wewe ni nani, Bwana?’ “Naye akaniambia, ‘Mimi ni Isa Al-Nasiri unayemtesa.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Niliuliza, ‘Wewe ni nani, Bwana?’ Sauti ikasema, ‘Mimi ni Yesu kutoka Nazareti, unayemtesa.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nami nikauliza, ‘Nani wewe, Bwana?’ Naye akaniambia, ‘Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nikajibu, ‘Wewe ni nani Bwana?’ “Naye akaniambia, ‘Mimi ni Yesu wa Nazareti unayenitesa.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nikajibu, ‘Wewe ni nani, Bwana?’ “Naye akaniambia, ‘Mimi ni Isa Al-Nasiri unayemtesa.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nami nikauliza, ‘Nani wewe, Bwana?’ Naye akaniambia, ‘Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nilipojibu: Ndiwe nani, Bwana? akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nasareti, ambaye unanifukuza wewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nami nikauliza: ‘Wewe ni nani, Bwana?’ Na Bwana akanijibu: ‘Mimi ni Yesu wa Nazareti unayemutesa.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nikajibu Wewe nani Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambae wewe unaniudhi.