Acts 23:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule jemadari akamshika yule kijana mkono, akampeleka kando na kumuuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yule jemadari akamshika mkono akajitenga pamoja naye kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kamanda akamchukua kijana na kwenda naye mahali ambapo wangekuwa peke yao. Kamanda akamwuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule jemadari akamshika yule kijana mkono, akampeleka kando na kumwuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule jemadari akamshika yule kijana mkono, akampeleka kando na kumuuliza, “Unataka kuniambia nini?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yule jemadari akamshika mkono akajitenga pamoja naye kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkuu wa kikosi akamshika mkono, akaondoka naye kwenda penye njama, akamwuliza: Una habari gani ya kunipasha?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yule jemadari akamshika mkono akajitenga pamoja naye kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jemadari akamushika yule kijana mukono akaenda naye pembeni na kumwuliza: “Uko na habari gani ya kuniambia?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yule jemadari akamshika mkono akaenda nae kando, akamwuliza kwa faragha, Una neno gani utakalo kuniarifu?