Acts 23:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Una uhakika unataka kumtukana kuhani mkuu wa Mungu namna hiyo?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale watu waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wakamwambia, “Je, wewe wathubutu kumtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, “Unamtukana kuhani mkuu wa Mungu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao waliosimama hapo waliposema: Unamtukana mtambikaji mkuu wa Mungu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu waliokuwa wakisimama karibu na Paulo wakamwambia: “Wewe unamutukana Kuhani Mukubwa wa Mungu!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wale waliosimama karibu wakasema, Je! unamtukana kuhani mkuu wa Mungu?