Acts 24:8 — Compare Translations
13 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.] Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako.] Kwa kumchunguza mwenyewe utaweza kujua ukweli kuhusu mashtaka haya yote tunayoleta dhidi yake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.] Wewe mwenyewe kwa kumwuliza-uliza utaweza kupata habari ya mambo yale yote tunayomshitaki sisi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote yale tunayomshtaki kwayo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili] kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote tunayomshtaki kwayo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.] Wewe mwenyewe kwa kumwulizauliza utaweza kupata habari ya mambo yale yote tunayomshitaki sisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.] Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hayo yote, tunayomsuta, utaweza kuyatambua mwenyewe ukimwulizauliza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.] Wewe mwenyewe kwa kumwuliza-uliza utaweza kupata habari ya mambo yale yote tunayomshitaki sisi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha akaamuru kwamba wale wanaomushitaki wakuje kwako.] Na wewe mwenyewe utaweza kumusambisha mutu huyu, na kufahamu vizuri mambo yale tunayomushitakia.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wewe mwenyewe utaweza kumwuliza na kupata khabari ya mambo yale tunayomshitaki sisi.