Acts 25:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambako viongozi wa makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya Paulo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuhani Mkuu na wakuu wa Wayahudi wakampasha habari za Paulo, wakamsihi,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Viongozi wa makuhani na viongozi maarufu wa Kiyahudi wakatoa mashitaka dhidi ya Paulo mbele ya Festo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambako viongozi wa makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya Paulo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambako viongozi wa makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya Paulo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuhani Mkuu na wakuu wa Wayahudi wakampasha habari za Paulo, wakamsihi,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, watambikaji wakuu na Wayuda wenye cheo walipomtokea kumsuta Paulo, wakambembeleza
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuhani Mkuu na wakuu wa Wayahudi wakampasha habari za Paulo, wakamsihi,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kule wakubwa wa makuhani na wakubwa wa Wayuda wakamushitaki Paulo mbele yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kuhani mkuu na Wayahudi wakampasha khabari za Paolo, wakamsihi,