Acts 26:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi nikauliza: ‘Ni nani wewe Bwana?’ Naye Bwana akajibu: ‘Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’ “Naye Bwana akajibu, ‘Ni mimi Isa unayemtesa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nilisema, ‘Wewe ni nani, Bwana?’ Bwana alisema, ‘Mimi ni Yesu. Unayemtesa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mimi nikauliza: Ni nani wewe Bwana? Naye Bwana akajibu: Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi nikauliza: ‘Ni nani wewe Bwana?’ Naye Bwana akajibu: ‘Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’ “Naye Bwana akajibu, ‘Ni Mimi Yesu unayenitesa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’ “Naye Bwana Isa akajibu, ‘Ni mimi Isa unayemtesa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi nikauliza: ‘Ni nani wewe Bwana?’ Naye Bwana akajibu: ‘Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi nilipouliza: Ndiwe nani, Bwana? Bwana akasema: Mimi ni Yesu, ambaye unanifukuza wewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu nikauliza: ‘Wewe ni nani, Bwana?’ Na Bwana akajibu: ‘Mimi ni Yesu, unayemutesa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nami nikasema, Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambae wewe unaniudhi.