Acts 26:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hayo ya mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Paulo aliendelea kusema: “Mfalme Agripa, baada ya kuona maono haya kutoka mbinguni, nilitii.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hilo la mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hayo ya mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hayo ya mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo, mfalme Agripa, sikukataa kuliitikia hilo jambo la mbinguni, nililoliona,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Kwa sababu hii, Ee mufalme Agripa, mimi nikafanya sawa nilivyoagizwa katika maono yale yaliyotoka mbinguni.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa hiyo, ee Mfalme Agrippa, sikuiasi ile njozi ya mbinguni,