Acts 26:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Agripa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa, kama asingalitaka rufani kwa Kaisari.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Agripa akamwambia Festo, “Tungemwachia huru, lakini ameomba kumwona Kaisari.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naye Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kuachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Agripa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa, kama asingalitaka rufani kwa Kaisari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Agripa akamwambia Festo: Mtu huyu angeweza kufunguliwa, kama asingalikuwa ametaka kuhukumiwa na Kaisari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Agripa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa, kama asingalitaka rufani kwa Kaisari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Agripa akamwambia Festo: “Mutu huyu angeweza kufunguliwa, kama isingekuwa ameomba maneno yake yakatwe na Mufalme wa Roma.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Agrippa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa kama asingalitaka rufaani kwa Kaisari.