Acts 26:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisilosadikika, kwamba Mungu awafufua wafu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa nini ninyi watu mnadhani Mungu hawezi kuwafufua watu kutoka kwa wafu?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa nini ye yote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisiloaminika, kwamba Mungu awafufua wafu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa nini nyinyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa sababu gani huwaza kwenu, ya kuwa neno hilo halitegemeki la kwamba: Mungu anafufua wafu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisilosadikika, kwamba Mungu awafufua wafu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu gani ninyi munazani kwamba haiwezekani kwa mutu kusadiki kwamba Mungu anawafufua wafu?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa nini limedhaniwa nanyi kuwa neno lisilosadikika, kwamba Mungu awafufua wafu?