Acts 4:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hatuwezi kukaa kimya. Ni lazima tuwaambie watu kuhusu yale tuliyoona na kusikia.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani sisi hatuwezi kuacha, tusiyaseme, tuliyoyaona nayo tuliyoyasikia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo tuliyoyaona na kuyasikia.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwamba ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe; maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.