Acts 4:35 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakaiweka miguuni pa mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakaiweka miguuni pa mitume; kila mtu akagawiwa kwa kadiri ya alivyohitaji.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
na kuzikabidhi kwa mitume. Kisha kila mtu akapewa kiasi alichohitaji.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakaiweka miguuni pa wale mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakaiweka miguuni pa mitume, kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakaiweka miguuni pa mitume; kila mtu akagawiwa kwa kadiri ya alivyohitaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wakaziweka miguuni pa mitume, kila mtu akagawiwa, kama alivyokosa.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakaiweka miguuni pa mitume; kila mtu akagawiwa kwa kadiri ya alivyohitaji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa mikono ya mitume. Nao walizigawanya kwa watu wote kufuatana na mahitaji ya kila mumoja.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wakaiweka miguuni jia mitume; killa mtu akagawiwa kwa kadiri alivyohitaji.