Acts 4:37 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yusufu aliuza shamba alilomiliki. Akaleta pesa na kuwapa mitume.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye alikuwa na shamba, akaliuza, akazileta fedha, akaziweka miguuni pa mitume.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu huyu aliuzisha shamba alilokuwa nalo, na kuleta feza alizopata kwa mikono ya mitume.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.