Acts 5:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alikuwepo mtu aliyeitwa Anania na mke wake aliyeitwa Safira. Anania aliuza shamba lake,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kulikuwa na mtu jina lake Anania, na mkewe Safira; huyu alipouza kiunga
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile kulikuwa mutu mwingine mumoja aliyeitwa Anania. Yeye alipokwisha kupatana na muke wake Safira, akauzisha shamba lake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
LAKINI mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza uwanja,