Acts 5:42 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo hekaluni na nyumbani kwa watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila siku, Hekaluni na nyumba kwa nyumba, hawakuacha kufundisha na kuhubiri Habari Njema kwamba Isa ndiye Al-Masihi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kila siku, ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema za Yesu kwamba ni Kristo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mitume hawakuacha kuwafundisha watu. Waliendelea kuzisema Habari Njema, kwamba Yesu ni Masihi. Walifanya hivi kila siku katika eneo la Hekalu na katika nyumba za watu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo, Hekaluni na nyumbani mwa watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo hekaluni na nyumbani kwa watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila siku, Hekaluni na nyumba kwa nyumba, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema kwamba Yesu ndiye Kristo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila siku, Hekaluni na nyumba kwa nyumba, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema kwamba Isa ndiye Al-Masihi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kila siku, ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kuhubiri Habari Njema za Yesu kwamba ni Kristo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo hekaluni na nyumbani kwa watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku zote hawakuacha kufundisha na kuutangaza Utume mwema wa Yesu Kristo hapo Patakatifu na nyumbani mo mote.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kila siku, ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema za Yesu kwamba ni Kristo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kila siku, katika hekalu na katika nyumba mbalimbali, hawakuacha kufundisha na kuhubiri Habari Njema kwamba Yesu ni Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na killa siku ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kukhubiri khabari njema za Yesu kwamba ni Kristo.