Acts 6:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
nasi tutatumia muda wetu kuomba na katika huduma ya neno.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na sisi tutadumu katika kuomba na kulihudumia lile Neno.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na hivyo itatuwezesha sisi kutumia muda wetu wote katika kuomba na kufundisha neno la Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakati sisi tutatumia muda wetu mrefu kuomba na kulihudumia lile neno.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
nasi tutatumia muda wetu kuomba na huduma ya neno.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na sisi tutadumu katika kuomba na kulihudumia lile Neno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini sisi tuishike kazi yetu ya kuomba na kulitumikia Neno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na sisi tutadumu katika kuomba na kulihudumia lile Neno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na sisi kwa ngambo yetu tutajitolea kwa kuomba Mungu na kuhubiri neno lake.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na sisi tutadumu katika kumwomba Mungu na kulikhudumia Neno lake.