Acts 7:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kuhani mkuu akamwambia Stefano, “Mambo haya ndivyo yalivyo?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Kuhani Mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Kuhani Mkuu akamwuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtambikaji mkuu alipomwuliza: Ndivyo, yalivyo mambo haya?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Kuhani Mukubwa akamwuliza Stefano: “Maneno haya wanayokushitakia ni ya kweli?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
KUHANI mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?