Acts 7:39 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyekataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Lakini baba zetu walikataa kumtii Musa, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini baba zetu hawakutaka kumtii Musa. Walimkataa, wakataka kurudi Misri.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyekataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Lakini baba zetu walikataa kumtii Musa, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyekataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
tena ndiye, ambaye baba zetu hawakutaka kumtii, wakamsukuma, wakageuka mioyoni mwao, kwamba warudi Misri,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Babu zetu hawakutaka kumusikiliza Musa, wakamukataa na kutamani kurudi Misri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarudi Misri,