Acts 7:46 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
aliyepata fadhili mbele za Mungu, naye aliomba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu alimpenda Daudi. Na Daudi akamwomba Mungu amruhusu ajenge Hekalu kwa ajili ya watu wa Israeli
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
aliyepata fadhili mbele za Mungu, naye aliomba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyo akaonea mapendeleo machoni pa Mungu, akaomba ruhusa ya kumpatia Mungu wa Yakobo makazi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
aliyepata fadhili mbele za Mungu, naye aliomba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akamujalia Daudi neema hata akamwomba yeye Mungu wa Yakobo ruhusa ya kumujengea nyumba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
aliyepata kibali mbele ya Mungu, nae aliomba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.