Acts 7:53 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ninyi ndiyo mliipokea Sheria ya Mungu, aliyoitoa kupitia malaika zake. Lakini hamtaki kuitii!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maonyo mliyapokea kwa kuagizwa na malaika, lakini hamkuyalinda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu aliwatolea ninyi Sheria yake kwa njia ya wamalaika, lakini hamukuitii.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ninyi mlioipokea torati kwa khuduma ya malaika wala hamkuishika.