Acts 7:59 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliendelea kumpiga Stefano kwa mawe huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Isa, pokea roho yangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walipokuwa wanampiga kwa mawe, Stefano aliomba, akisema, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Waliendelea kumpiga mawe Stefano, huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliendelea kumpiga Stefano kwa mawe huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Isa, pokea roho yangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliendelea kumpiga Stefano kwa mawe huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kisha nao wakampiga Stefano mawe, yeye akiomba na kusema: Bwana Yesu, ipokee roho yangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipokuwa wakimutupia mawe, Stefano akaomba akisema: “Ee Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakampiga mawe Stefano, nae akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.