Acts 8:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu wa Mungu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Petro na Yohana walipofika, waliomba ili Roho Mtakatifu awashukie waamini wa Samaria.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho wa Mwenyezi Mungu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakashuka, wakawaombea, wapewe Roho takatifu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipofika Samaria, wakawaombea waamini wapate kupokea Roho Mutakatifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakashuka, wakawaombea wrampokee Roho Mtakatifu: