Acts 9:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ameoneshwa katika maono kuwa mtu anayeitwa Anania anamwendea na kuweka mikono juu yake ili aweze kuona tena.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye ameona mtu, jina lake Anania, anavyoingia humo, alimo, ambandikie mikono, apate kuona tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye ameona katika maono mutu mumoja anayeitwa Anania, akiingia ndani ya nyumba na kuweka mikono juu yake kusudi apate kuona tena.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nae amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, akiweka mikono juu yake, apate kuona tena.