Acts 9:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akadondoka chini na akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli! Kwa nini unanitesa?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona wanitesa?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akaanguka chini, akasikia sauti iliyomwambia: Sauli, Sauli, unanifukuzaje?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo, sababu gani unanitesa?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Saul, Saul, mbona wanifukuza?