Amos 2:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wapiga upinde vitani hawatastahimili; wapiga mbio hodari hawataweza kujiokoa, wala wapandafarasi hawatayanusurisha maisha yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wapiga upinde vitani hawatastahimili; wapiga mbio hodari hawataweza kujiokoa, wala wapandafarasi hawatayanusurisha maisha yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mpiga upinde atakimbia, askari wapiga mbio hawataweza kutoroka, na mpanda farasi hataokoa maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wapiga upinde vitani hawatastahimili; wapiga mbio hodari hawataweza kujiokoa, wala wapandafarasi hawatayanusurisha maisha yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wala mshika upindi hatasimama, wala mwenye miguu miepesi hatapona, wala mpanda farasi hataiponya roho yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wapiga upinde katika vita hawataweza kusimama na nguvu; wenye kuwa hodari kwa kukimbia mbio hawataweza kujiokoa, wala waaskari wapanda-farasi hawatayaokoa maisha yao.