Amos 5:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wao humchukia ayakataye mashauri ya langoni sawasawa, naye asemaye ya kweli huwachafua mioyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi munawachukia wanaotetea haki na wenye kusema ukweli katika tribinali.