Colossians 3:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Isa Al-Masihi mnayemtumikia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
mkijua ya kuwa mtapokea kwa Bwana ujira wa urithi. Mnamtumikia Bwana Kristo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Bwana ujira aliowaahidi watu wake. Ndiyo, mnamtumikia Kristo aliye Bwana wenu halisi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana kuwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Isa Al-Masihi mnayemtumikia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
mkijua ya kuwa mtapokea kwa Bwana ujira wa urithi. Mnamtumikia Bwana Yesu Kristo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jueni, ya kuwa mtapokea kwake Bwana malipo hapo, mtakapoupata urithi wenu! Mtumikieni Bwana Kristo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
mkijua ya kuwa mtapokea kwa Bwana ujira wa urithi. Mnamtumikia Bwana Kristo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukumbuke kwamba Bwana atawapa ninyi zawadi ile anayowawekea watu wake. Kwa maana Kristo ndiye Bwana wa kweli munayemutumikia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
mkijua ya kuwa mtapokea kwa Bwana njira wa urithi; kwa kuwa mnamtumikia Bwana Kristo.