Daniel 12:2 — Compare Translations
9 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uhai wa milele, na wengine watapata uhai na kudharauliwa milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uhai wa milele, na wengine watapata uhai na kudharauliwa milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwenye aibu na kudharauliwa milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wengi walalao ndani ya nchi uvumbini wataamka, wengine kupata uzima wa kale na kale, wengine kutwezwa na kuchukizwa kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uzima wa milele, na wengine watapata haya na kuzarauliwa milele.