Daniel 7:18 — Compare Translations
9 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini watakatifu wa Mungu Mkuu watapewa ufalme, nao wataumiliki ufalme huo milele na milele.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini watakatifu wake Aliye juu wataupokea ufalme, na kuumiliki huo ufalme milele, naam hata milele na milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini watakatifu wa Mungu Mkuu watapewa ufalme, nao wataumiliki ufalme huo milele na milele.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele, naam, milele na milele.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha watakatifu wake Alioko huko juu watapata ufalme, nao wataushika ufalme kale na kale, kweli siku zitakazokuja zote za kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini watakatifu wake Aliye juu wataupokea ufalme, na kuumiliki huo ufalme milele, naam hata milele na milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini watakatifu wa Mungu Mukubwa watapewa ufalme, nao wataupokea ufalme huo milele na milele.