Daniel 8:17 — Compare Translations
9 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Gabrieli akaja karibu na mahali niliposimama. Mimi nikaogopa sana, hata nikaanguka kifudifudi. Lakini akaniambia, ‘Wewe mtu, elewa kwamba maono uliyoyaona yanahusu wakati wa mwisho.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipokuwa akikaribia pale nilipokuwa nimesimama, niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi alipakaribia mahali niliposimama; nami naliogopa alipokaribia, nikaanguka kifudifudi; lakini aliniambia, Fahamu, Ee mwanadamu, kwa maana maono haya ni ya wakati wa mwisho.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Gabrieli akaja karibu na mahali niliposimama. Mimi nikaogopa sana, hata nikaanguka kifudifudi. Lakini akaniambia, ‘Wewe mtu, elewa kwamba maono uliyoyaona yanahusu wakati wa mwisho.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipokuwa akikaribia pale mahali nilipokuwa nimesimama, niliogopa nikaanguka kifudifudi, akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipokuwa akikaribia pale nilipokuwa nimesimama, niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaja huko, nilikosimama; lakini alipokuja, nikastuka, nikaanguka kifudifudi, akaniambia: Tambua, mwana wa mtu, ya kuwa hilo ono linaonyesha yatakayokuwa siku za mwisho!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi alipakaribia mahali niliposimama; nami naliogopa alipokaribia, nikaanguka kifudifudi; lakini aliniambia, Fahamu, Ee mwanadamu, kwa maana maono haya ni ya wakati wa mwisho.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Gabrieli akakuja karibu na pahali niliposimama. Mimi nikaogopa sana, hata nikaanguka uso mpaka chini. Lakini akaniambia: Wewe mutu, uelewe kwamba maono uliyoyaona yanaelekea wakati wa mwisho.