Deuteronomy 10:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, takaseni mioyo yenu, msiwe wakaidi tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, takaseni mioyo yenu, msiwe wakaidi tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, takaseni mioyo yenu, msiwe wakaidi tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo itahirini mioyo yenu, tena msizishupaze kosi zenu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, mutahiri magovi ya mioyo yenu, musikuwe wagumu tena.