Deuteronomy 10:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huwapa haki yatima na wajane; huwapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huamulia waliofiwa na wazazi nao wajane, hupenda wageni, awape chakula na nguo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anatetea haki ya wayatima na wajane; vilevile anawapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.