Deuteronomy 10:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wapendeni wageni kwa kuwa nanyi pia mlikuwa wageni nchini Misri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, mpendeni mgeni, kwa sababu ninyi wenyewe mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wapendeni wageni kwa kuwa nanyi pia mlikuwa wageni nchini Misri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, mpendeni mgeni, kwa sababu ninyi wenyewe mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wapendeni wageni kwa kuwa nanyi pia mlikuwa wageni nchini Misri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo nanyi wapendeni wageni, kwani nanyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, mpendeni mgeni, kwa sababu ninyi wenyewe mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, muwapende wageni kwa sababu nanyi vilevile mulikuwa wageni katika inchi ya Misri.