Deuteronomy 12:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtaila nyama hiyo kama aliwavyo paa au kulungu. Mtu yeyote anaweza kula, aliye safi na asiye safi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi na walio safi mnaweza kula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama vile aliwavyo paa na kulungu, ndivyo utakavyoila nyama hii; asiyekuwa tohara na aliye tohara wataila pia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtaila nyama hiyo kama aliwavyo paa au kulungu. Mtu yeyote anaweza kula, aliye safi na asiye safi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama vile anavyoliwa paa na kulungu, ndivyo utakavyoila nyama hii; asiyekuwa tohara na aliye tohara wataila pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtaila nyama hiyo kama aliwavyo paa au kulungu. Mtu yeyote anaweza kula, aliye safi na asiye safi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama nyama za paa na za kulungu zinavyoliwa, hivyo ndivyo, utakavyozila hizo nyama nazo, mwenye uchafu na mwenye kutakata watazila pamoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama vile aliwavyo paa na kulungu, ndivyo utakavyoila nyama hii; asiyekuwa tohara na aliye tohara wataila pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutaikula nyama hiyo kama vile wanavyokula paa au kulungu. Mutu yeyote anaweza kula, anayekuwa safi na asiyekuwa safi.