Deuteronomy 13:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama nabii, au yule anayetabiri kupitia ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Akitokea nabii au mtabiri wa ndoto miongoni mwenu, akawaahidi na kuwapa ishara au maajabu fulani,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakapoinuka katikati yako mfumbuaji au mwota ndoto na kukutolea kielekezo au kioja,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Kila kitu ambacho nimewaamuru, mufanye angalisho mukitende; musiongeze kitu wala musipunguze kitu.