Deuteronomy 13:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, Waisraeli wote watasikia na kuogopa, na kamwe hawatafanya uovu kama huo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, Waisraeli wote watasikia na kuogopa, na kamwe hawatafanya uovu kama huo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, Waisraeli wote watasikia na kuogopa, na kamwe hawatafanya uovu kama huo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao Waisiraeli wote watakapovisikia wataogopa, wasiendelee kufanya kwako mabaya kama nayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umupige mawe mpaka akufe, kwa sababu amejaribu kukuvuta mbali kutoka kwa Yawe, Mungu wako, ambaye alikutoa toka utumwa katika inchi ya Misri.