Deuteronomy 13:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
basi mtapeleleza na kufanya uchunguzi na kuuliza kwa makini; na kama ni kweli kuwa jambo la kuchukiza limetendeka kati yenu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili linalochukiza limefanyika miongoni mwenu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ndipo nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati yako;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
basi mtapeleleza na kufanya uchunguzi na kuuliza kwa makini; na kama ni kweli kuwa jambo la kuchukiza limetendeka kati yenu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili lichukizalo limefanyika miongoni mwenu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili lichukizalo limefanyika miongoni mwenu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ndipo nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati yako;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
basi mtapeleleza na kufanya uchunguzi na kuuliza kwa makini; na kama ni kweli kuwa jambo la kuchukiza limetendeka kati yenu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, utakapovisikia, sharti utafute na kuchunguza na kuuliza vema; kisha utakapoona, ya kama neno hili ni la kweli, ikaelekea, ya kama tapisho hilo limefanyika kweli katikati yako,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ndipo nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati yako;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwamba watu fulani wa ovyo ovyo kati yenu, wamewashawishi watu wa muji wakisema: ‘Twende tuabudu miungu mingine’, ambayo bado hamukujua,