Deuteronomy 13:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
halafu ishara au maajabu hayo yatokee, kisha aseme: ‘Tufuate miungu mingine na kuitumikia, (miungu ambayo hamjapata kuijua)’,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
halafu ishara au maajabu hayo yatokee, kisha aseme: ‘Tufuate miungu mingine na kuitumikia, (miungu ambayo hamjapata kuijua)’,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
halafu ishara au maajabu hayo yatokee, kisha aseme: ‘Tufuate miungu mingine na kuitumikia, (miungu ambayo hamjapata kuijua)’,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nacho hicho kielekezo au kioja, alichokuambia, kitakapotimia, ndipo, atakapokuambia: Twende, tufuate miungu mingine, msiyoijua, tuitumikie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Kukitokea nabii au mutabiri wa kutumia ndoto kati yenu na kuwapatia kitambulisho au ajabu fulani,