Deuteronomy 13:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
au baadhi ya miungu ya watu wanaoishi karibu nanyi, au miungu ya watu waishio mbali toka ncha moja ya dunia hadi nyingine,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi hadi mwingine),
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
katika miungu ya mataifa yaliyo kando-kando yenu karibu nawe au mbali nawe, tokea ncha moja ya dunia hata ncha ya pili ya dunia;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
au baadhi ya miungu ya watu wanaoishi karibu nanyi, au miungu ya watu waishio mbali toka ncha moja ya dunia hadi nyingine,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwingine),
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwingine),
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
katika miungu ya mataifa yaliyo kandokando yenu karibu nawe au mbali nawe, tokea ncha moja ya dunia hata ncha ya pili ya dunia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
au baadhi ya miungu ya watu wanaoishi karibu nanyi, au miungu ya watu waishio mbali toka ncha moja ya dunia hadi nyingine,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo ndiyo iliyomo miongoni mwa miungu ya makabila yanayoaa na kuwazunguka ninyi pande zote, wengine wao wanakukalia karibu, wengine mbali toka mwanzo wa nchi hata mwisho wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
katika miungu ya mataifa yaliyo kando-kando yenu karibu nawe au mbali nawe, tokea ncha moja ya dunia hata ncha ya pili ya dunia;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Ikiwa ndugu yako wa tumbo moja, au mwana wako, au binti wako, au muke wako unayemupenda sana au rafiki yako mupenzi, atakushawishi kwa siri akisema: ‘Twende tuabudu miungu mingine’, ambayo wewe wala babu zenu hamwijui,