Deuteronomy 14:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
membe, koikoi kwa aina zake, hudihudi na popo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
membe, koikoi kwa aina zake, hudihudi na popo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
membe, koikoi wa aina yo yote, hudihudi na popo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
membe, koikoi kwa aina zake, hudihudi na popo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
na korongo na kitwitwi na ndugu zake na hudihuda na popo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
membe, koikoi na aina zake, hudihudi na popo.