Deuteronomy 14:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na wadudu wote wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na wadudu wote wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na wadudu wote wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wadudu wote wenye mabawa wanaotambaa ni mwiko kwenu, hawaliwi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na wadudu wote wenye mabawa ni wachafu kwenu; musiwakule.