Deuteronomy 16:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkumbuke kuwa mlikuwa watumwa kule Misri; basi muwe waangalifu kufuata masharti haya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nawe kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa huko Misri; tena zishike amri hizi kwa kuzifanya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkumbuke kuwa mlikuwa watumwa kule Misri; basi muwe waangalifu kufuata masharti haya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nawe kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa huko Misri; tena zishike amri hizi kwa kuzifanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkumbuke kuwa mlikuwa watumwa kule Misri; basi muwe waangalifu kufuata masharti haya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawe ukumbuke, ya kama ulikuwa mtumwa kule Misri! Kwa hiyo angalia, uyafanye haya maongozi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawe kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa huko Misri; tena zishike amri hizi kwa kuzifanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukumbuke kwamba mulikuwa watumwa kule Misri na mukuwe waangalifu kufuata masharti haya.