Deuteronomy 16:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mtahesabu majuma saba; mtaanza kuyahesabu tangu mnapoanza kuvuna nafaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jihesabie majuma saba; tangu wakati uanzao kutia mundu katika mmea utaanza kuhesabu majuma saba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mtahesabu majuma saba; mtaanza kuyahesabu tangu mnapoanza kuvuna nafaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jihesabie majuma saba; tangu wakati uanzao kutia mundu katika mmea utaanza kuhesabu majuma saba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mtahesabu majuma saba; mtaanza kuyahesabu tangu mnapoanza kuvuna nafaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jihesabie majuma saba! Watu wakianza kukata ngano kwa miundu, ndipo uanzie kuyahesabu hayo majuma saba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jihesabie majuma saba; tangu wakati uanzao kutia mundu katika mmea utaanza kuhesabu majuma saba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mutahesabu majuma saba; mutaanza kuyahesabu tangu munapoanza kuvuna ngano.